Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:89
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  89 Mpaka wakati usio na kipimo, Ee Yehova,+

      Neno lako limesimama mbinguni.+

  • Isaya 46:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+

  • Mathayo 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba mbingu na dunia zingepitilia mbali+ upesi zaidi kuliko herufi moja ndogo zaidi au nukta moja ya herufi kupitilia mbali kutoka katika Sheria na mambo yote yasitukie.+

  • 1 Petro 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 bali neno la Yehova linadumu milele.”+ Basi, hili ndilo “neno,”+ hili ambalo ninyi mmetangaziwa+ kuwa habari njema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki