2 Petro 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo tuna neno la kinabii+ likiwa limefanywa hakika zaidi;+ nanyi mnafanya vema kulikazia uangalifu kama vile taa+ inayoangaza mahali penye giza, mpaka siku ipambazuke na nyota ya mchana+ ichomoze, katika mioyo yenu.
19 Kwa hiyo tuna neno la kinabii+ likiwa limefanywa hakika zaidi;+ nanyi mnafanya vema kulikazia uangalifu kama vile taa+ inayoangaza mahali penye giza, mpaka siku ipambazuke na nyota ya mchana+ ichomoze, katika mioyo yenu.