Zaburi 89:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana nimesema: “Fadhili zenye upendo zitakaa zikiwa zimejengwa mpaka wakati usio na kipimo;+Kwa habari ya mbingu, wewe unaendeleza uaminifu wako imara ndani yake.”+ Isaya 55:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+ 1 Petro 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 bali neno la Yehova linadumu milele.”+ Basi, hili ndilo “neno,”+ hili ambalo ninyi mmetangaziwa+ kuwa habari njema.
2 Kwa maana nimesema: “Fadhili zenye upendo zitakaa zikiwa zimejengwa mpaka wakati usio na kipimo;+Kwa habari ya mbingu, wewe unaendeleza uaminifu wako imara ndani yake.”+
9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+
25 bali neno la Yehova linadumu milele.”+ Basi, hili ndilo “neno,”+ hili ambalo ninyi mmetangaziwa+ kuwa habari njema.