29 Dunia itetemeke na kuwa katika maumivu makali,+ kwa maana fikira za Yehova zimeinuka juu ya Babiloni ili kuifanya nchi ya Babiloni kuwa kitu cha kushangaza, bila mkaaji.+
10 Lakini siku ya Yehova+ itakuja kama mwizi,+ ambayo katika hiyo mbingu zitapitilia mbali+ kwa kelele ya kuvuma,+ lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa,+ na dunia+ na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+