41 Kwa kweli miji itatekwa, na mahali pake palipo imara hakika patakamatwa. Na moyo wa wanaume wenye nguvu wa Moabu lazima siku hiyo utakuwa kama moyo wa mke ambaye ana taabu ya kuzaa mtoto.’”+
16 Nao wanaendelea kuiambia milima na miamba: “Tuangukieni,+ mtufiche kutoka usoni pa Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme+ na kutoka kwenye ghadhabu ya Mwana-Kondoo,+