Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na watu wamekuwa na wasiwasi.+ Utungu na uchungu wa kuzaa zimewashika; wana uchungu kama mwanamke anayezaa.+ Wanatazamana kwa mshangao. Nyuso zao ni nyuso zilizowaka.+

  • Isaya 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndiyo sababu viuno vyangu vimejaa maumivu makali.+ Utungu umenishika, kama utungu wa mwanamke anayezaa.+ Nimevurugika hivi kwamba sisikii; nimeingiwa na wasiwasi hivi kwamba sioni.

  • Yeremia 49:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Tazama! Mtu atapaa na kurukia mawindo kama tai,+ naye atanyoosha mabawa yake juu ya Bosra;+ na moyo wa wanaume wenye nguvu wa Edomu siku hiyo utakuwa kama moyo wa mke aliye na taabu ya kuzaa mtoto.”+

  • Mika 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Basi ni kwa nini unaendelea kupiga kelele?+ Je, hamna mfalme ndani yako, au je, mshauri wako mwenyewe ameangamizwa, hata maumivu kama yale ya mwanamke anayezaa yakakushika?+

  • 1 Wathesalonike 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakati watakapokuwa wakisema:+ “Amani+ na usalama!” ndipo uharibifu+ wa ghafula utakapokuwa juu yao mara moja kama vile maumivu ya taabu juu ya mwanamke mwenye mimba;+ nao hawataponyoka hata kidogo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki