Zaburi 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yeye Yehova ataketi mpaka wakati usio na kipimo,+Akifanya imara kiti chake cha ufalme kwa ajili ya hukumu.+ Zaburi 90:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+ Maombolezo 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini wewe, Ee Yehova, utaketi mpaka wakati usio na kipimo.+ Kiti chako cha ufalme ni cha kizazi baada ya kizazi.+
7 Yeye Yehova ataketi mpaka wakati usio na kipimo,+Akifanya imara kiti chake cha ufalme kwa ajili ya hukumu.+
2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+
19 Lakini wewe, Ee Yehova, utaketi mpaka wakati usio na kipimo.+ Kiti chako cha ufalme ni cha kizazi baada ya kizazi.+