10 Lakini kwa nini wewe unamhukumu ndugu yako?+ Au kwa nini wewe pia unamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu+ cha Mungu;
11 Nami nikaona kiti cha ufalme kikubwa cheupe na yeye aliyeketi juu yake.+ Dunia na mbingu zikakimbia kutoka mbele zake,+ na mahali popote hapakupatikana kwa ajili ya hizo.