Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 102:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini wewe ni yuleyule, nayo miaka yako mwenyewe haitamalizika.+

  • Zaburi 145:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ufalme wako ni ufalme kwa nyakati zote zisizo na kipimo,+

      Na mamlaka yako ni ya kuendelea mpaka vizazi vyote vinavyofuata.+

  • Zaburi 146:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova atakuwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo,+

      Mungu wako, Ee Sayuni, kwa kizazi baada ya kizazi.+

      Msifuni Yah!+

  • Habakuki 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, wewe si wa tangu zamani za kale, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.+ Ee Yehova, umeliweka kwa ajili ya hukumu; na kwa ajili ya kukaripia+ umeliwekea msingi, Ee Mwamba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki