Zaburi 102:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini wewe ni yuleyule, nayo miaka yako mwenyewe haitamalizika.+ Zaburi 145:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ufalme wako ni ufalme kwa nyakati zote zisizo na kipimo,+Na mamlaka yako ni ya kuendelea mpaka vizazi vyote vinavyofuata.+ Zaburi 146:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova atakuwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo,+Mungu wako, Ee Sayuni, kwa kizazi baada ya kizazi.+Msifuni Yah!+ Habakuki 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, wewe si wa tangu zamani za kale, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.+ Ee Yehova, umeliweka kwa ajili ya hukumu; na kwa ajili ya kukaripia+ umeliwekea msingi, Ee Mwamba.+
13 Ufalme wako ni ufalme kwa nyakati zote zisizo na kipimo,+Na mamlaka yako ni ya kuendelea mpaka vizazi vyote vinavyofuata.+
10 Yehova atakuwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo,+Mungu wako, Ee Sayuni, kwa kizazi baada ya kizazi.+Msifuni Yah!+
12 Je, wewe si wa tangu zamani za kale, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.+ Ee Yehova, umeliweka kwa ajili ya hukumu; na kwa ajili ya kukaripia+ umeliwekea msingi, Ee Mwamba.+