Zaburi 147:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mpongeze Yehova,+ Ee Yerusalemu.Msifu Mungu wako, Ee Sayuni.+ Yoeli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nanyi mtajua ya kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu,+ anayekaa katika Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Na Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu;+ wageni nao hawatapita tena kamwe kati yake.+
17 Nanyi mtajua ya kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu,+ anayekaa katika Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Na Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu;+ wageni nao hawatapita tena kamwe kati yake.+