Zaburi 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa ajili ya jina lako, Ee Yehova,+Usamehe kosa langu, kwa maana ni kubwa.+ Zaburi 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana wewe ni mwamba wangu na ngome yangu;+Nawe utaniongoza na kunielekeza+ kwa ajili ya jina lako.+ Yohana 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Pia, mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni+ nami ninakuja kwako. Baba Mtakatifu, walinde+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa, ili wawe kitu kimoja kama vile sisi tulivyo.+
3 Kwa maana wewe ni mwamba wangu na ngome yangu;+Nawe utaniongoza na kunielekeza+ kwa ajili ya jina lako.+
11 “Pia, mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni+ nami ninakuja kwako. Baba Mtakatifu, walinde+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa, ili wawe kitu kimoja kama vile sisi tulivyo.+