Zaburi 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa ajili ya jina lako, Ee Yehova,+Usamehe kosa langu, kwa maana ni kubwa.+ Yeremia 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata makosa yetu yakishuhudia juu yetu, Ee Yehova, tenda kwa ajili ya jina lako;+ kwa maana matendo yetu ya kukosa uaminifu yamekuwa mengi;+ sisi tumekutendea dhambi.+
7 Hata makosa yetu yakishuhudia juu yetu, Ee Yehova, tenda kwa ajili ya jina lako;+ kwa maana matendo yetu ya kukosa uaminifu yamekuwa mengi;+ sisi tumekutendea dhambi.+