Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana wewe ni mwamba wangu na ngome yangu;+

      Nawe utaniongoza na kunielekeza+ kwa ajili ya jina lako.+

  • Zaburi 79:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+

      Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+

  • Zaburi 109:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini wewe ni Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+

      Nitendee kwa ajili ya jina lako.+

      Kwa sababu fadhili zako zenye upendo ni njema, unikomboe.+

  • Zaburi 143:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa ajili ya jina lako,+ Ee Yehova, unihifadhi hai.+

      Katika uadilifu+ wako na uitoe nafsi yangu katika taabu.+

  • Ezekieli 36:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu, Ee nyumba ya Israeli, bali kwa ajili ya jina langu takatifu, ambalo ninyi mmelitia unajisi katikati ya mataifa ambamo mmeingia.” ’+

  • Danieli 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ee Yehova, usikie.+ Ee Yehova, usamehe.+ Ee Yehova, sikiliza utende.+ Usikawie,+ kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jina lako mwenyewe limeitwa juu ya jiji lako na juu ya watu wako.”+

  • Mathayo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Basi, ninyi msali hivi:+

      “ ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina+ lako na litakaswe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki