22 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu, Ee nyumba ya Israeli, bali kwa ajili ya jina langu takatifu, ambalo ninyi mmelitia unajisi katikati ya mataifa ambamo mmeingia.” ’+
19 Ee Yehova, usikie.+ Ee Yehova, usamehe.+ Ee Yehova, sikiliza utende.+ Usikawie,+ kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jina lako mwenyewe limeitwa juu ya jiji lako na juu ya watu wako.”+