2 Wafalme 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo Hezekia akamwambia Isaya: “Neno la Yehova ambalo umesema ni jema.”+ Kisha akasema: “Ni jema ikiwa kutakuwa na amani na utulivu* wakati wa maisha yangu.”*+
19 Ndipo Hezekia akamwambia Isaya: “Neno la Yehova ambalo umesema ni jema.”+ Kisha akasema: “Ni jema ikiwa kutakuwa na amani na utulivu* wakati wa maisha yangu.”*+