Isaya 39:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Hezekia akamwambia Isaya: “Neno la Yehova ambalo umesema ni jema.” Kisha akasema: “Kwa sababu kutakuwa na amani na utulivu* wakati wa maisha yangu.”*+
8 Ndipo Hezekia akamwambia Isaya: “Neno la Yehova ambalo umesema ni jema.” Kisha akasema: “Kwa sababu kutakuwa na amani na utulivu* wakati wa maisha yangu.”*+