Isaya 39:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Hezekia akamwambia Isaya: “Neno la Yehova ambalo umesema ni jema.”+ Naye akaendelea kusema: “Kwa sababu amani na kweli+ zitaendelea kuwapo katika siku zangu.”+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 39:8 ip-1 397 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 39:8 Unabii wa Isaya 1, uku. 397
8 Ndipo Hezekia akamwambia Isaya: “Neno la Yehova ambalo umesema ni jema.”+ Naye akaendelea kusema: “Kwa sababu amani na kweli+ zitaendelea kuwapo katika siku zangu.”+