Mambo ya Walawi 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Musa akamwambia Haruni: “Hivi ndivyo Yehova amesema, ‘Na nitakaswe+ kati ya wale walio karibu nami,+ nami nitukuzwe mbele ya uso wa watu wote.’”+ Naye Haruni akakaa kimya. Zaburi 39:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Niliendelea kuwa asiyeweza kusema;+ sikuweza kufungua kinywa changu,+Kwa maana wewe mwenyewe ulichukua hatua.+ 1 Petro 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati unaofaa;+
3 Ndipo Musa akamwambia Haruni: “Hivi ndivyo Yehova amesema, ‘Na nitakaswe+ kati ya wale walio karibu nami,+ nami nitukuzwe mbele ya uso wa watu wote.’”+ Naye Haruni akakaa kimya.
9 Niliendelea kuwa asiyeweza kusema;+ sikuweza kufungua kinywa changu,+Kwa maana wewe mwenyewe ulichukua hatua.+
6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati unaofaa;+