Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 9:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha akatuma barua kwa Wayahudi wote katika zile wilaya 127, za utawala+ wa Ahasuero,+ katika maneno ya amani na kweli,+

  • Zaburi 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nitembeze katika kweli yako na kunifundisha,+

      Kwa maana wewe ni Mungu wangu wa wokovu.+

      ו [Waw]

      Nimekutumainia mchana kutwa.+

  • Zaburi 38:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hakuna mahali popote pazima katika mwili wangu kwa sababu ya shutuma yako.+

      Hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu.+

  • Zaburi 43:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tuma nuru yako na kweli yako.+

      Na hivyo vyenyewe viniongoze.+

      Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+

  • Zaburi 86:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+

      Nitatembea katika kweli yako.+

      Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+

  • Isaya 38:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na kusema: “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.” Na Hezekia akaanza kulia sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki