Esta 9:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kisha akatuma barua kwa Wayahudi wote katika zile wilaya 127, za utawala+ wa Ahasuero,+ katika maneno ya amani na kweli,+ Zaburi 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitembeze katika kweli yako na kunifundisha,+Kwa maana wewe ni Mungu wangu wa wokovu.+ ו [Waw]Nimekutumainia mchana kutwa.+ Zaburi 38:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hakuna mahali popote pazima katika mwili wangu kwa sababu ya shutuma yako.+Hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu.+ Zaburi 43:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tuma nuru yako na kweli yako.+Na hivyo vyenyewe viniongoze.+Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+ Zaburi 86:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+ Isaya 38:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na kusema: “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.” Na Hezekia akaanza kulia sana.+
30 Kisha akatuma barua kwa Wayahudi wote katika zile wilaya 127, za utawala+ wa Ahasuero,+ katika maneno ya amani na kweli,+
5 Nitembeze katika kweli yako na kunifundisha,+Kwa maana wewe ni Mungu wangu wa wokovu.+ ו [Waw]Nimekutumainia mchana kutwa.+
3 Hakuna mahali popote pazima katika mwili wangu kwa sababu ya shutuma yako.+Hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu.+
3 Tuma nuru yako na kweli yako.+Na hivyo vyenyewe viniongoze.+Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+
11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+
3 na kusema: “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.” Na Hezekia akaanza kulia sana.+