Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana mimi ninafifia.+

      Niponye,+ Ee Yehova, kwa maana mifupa yangu imesumbuka.

  • Zaburi 31:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana uhai wangu umefikia mwisho kwa huzuni,+

      Na miaka yangu kwa kuugua.+

      Kwa sababu ya kosa langu nguvu zangu zimejikwaa,+

      Na mifupa yangu imekuwa dhaifu.+

  • Zaburi 41:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mimi nami, nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+

      Uiponye nafsi yangu, kwa maana nimekutendea dhambi.”+

  • Zaburi 51:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Unifanye nisikie kufurahi na kushangilia,+

      Ili mifupa uliyoiponda ipate kuwa na shangwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki