Zaburi 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana mimi ninafifia.+Niponye,+ Ee Yehova, kwa maana mifupa yangu imesumbuka. Zaburi 31:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana uhai wangu umefikia mwisho kwa huzuni,+Na miaka yangu kwa kuugua.+Kwa sababu ya kosa langu nguvu zangu zimejikwaa,+Na mifupa yangu imekuwa dhaifu.+ Zaburi 41:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mimi nami, nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+Uiponye nafsi yangu, kwa maana nimekutendea dhambi.”+ Zaburi 51:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Unifanye nisikie kufurahi na kushangilia,+Ili mifupa uliyoiponda ipate kuwa na shangwe.+
2 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana mimi ninafifia.+Niponye,+ Ee Yehova, kwa maana mifupa yangu imesumbuka.
10 Kwa maana uhai wangu umefikia mwisho kwa huzuni,+Na miaka yangu kwa kuugua.+Kwa sababu ya kosa langu nguvu zangu zimejikwaa,+Na mifupa yangu imekuwa dhaifu.+
4 Mimi nami, nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+Uiponye nafsi yangu, kwa maana nimekutendea dhambi.”+