Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana mimi ninafifia.+

      Niponye,+ Ee Yehova, kwa maana mifupa yangu imesumbuka.

  • Zaburi 38:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hakuna mahali popote pazima katika mwili wangu kwa sababu ya shutuma yako.+

      Hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu.+

  • Isaya 57:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana Yeye Aliye Juu na Aliyeinuka Sana,+ anayeishi milele+ na ambaye jina lake ni takatifu,+ amesema hivi: “Mimi ninakaa kileleni na katika mahali patakatifu,+ pia pamoja na mtu aliyepondwa na mwenye roho ya unyenyekevu,+ ili kuipa uhai roho ya watu wa hali ya chini na kuupa uhai moyo wa wale wanaopondwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki