Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+ Isaya 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana bado muda kidogo sana—na shutuma+ ile itafika mwisho, na hasira yangu iwafanye wachakae.+ Waebrania 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Sasa maneno “Bado mara moja tena” yanatoa ishara ya kuondolewa kwa vitu vinavyotikiswa kuwa vitu ambavyo vimefanywa,+ ili vitu ambavyo havitikiswi vibaki.+
10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+
25 Kwa maana bado muda kidogo sana—na shutuma+ ile itafika mwisho, na hasira yangu iwafanye wachakae.+
27 Sasa maneno “Bado mara moja tena” yanatoa ishara ya kuondolewa kwa vitu vinavyotikiswa kuwa vitu ambavyo vimefanywa,+ ili vitu ambavyo havitikiswi vibaki.+