Kutoka 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+ Zaburi 104:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Anaitazama dunia, nayo inatetemeka;+Anaigusa milima, nayo inatoa moshi.+
18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+