Kutoka 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+ Zaburi 144:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ee Yehova, uinamishe mbingu zako ili upate kushuka;+Uiguse milima ipate kutoa moshi.+
18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+