19 Lakini akasema: “Mimi mwenyewe nitaupitisha wema wangu wote mbele ya uso wako,+ nami nitalitangaza jina la Yehova mbele yako;+ nami nitamwonyesha kibali yeyote ambaye ninataka kumwonyesha kibali, nami nitamwonyesha rehema yeyote ambaye ninataka kumwonyesha rehema.”+