13 Hata hivyo, Musa akamwambia Mungu wa kweli: “Tuseme nimefika kwa wana wa Israeli nami niwaambie, ‘Mungu wa mababu zenu amenituma kwenu,’ nao waniambie, ‘Jina lake ni nani?’+ Nitawaambia nini?”
6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+