Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova ni mtu wa vita+ anayetenda kiume. Yehova ndilo jina lake.+

  • 1 Samweli 17:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Naye Daudi akamwambia yule Mfilisti: “Unakuja kwangu ukiwa na upanga na mkuki na fumo,+ lakini mimi naja kwako nikiwa na jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.+

  • Zaburi 96:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mhesabieni Yehova utukufu wa jina lake;+

      Chukueni zawadi na mwingie katika nyua zake.+

  • Zaburi 135:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova, jina lako ni la mpaka wakati usio na kipimo.+

      Ee Yehova, ukumbusho wako ni wa mpaka kizazi baada ya kizazi.+

  • Hosea 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Yehova Mungu wa majeshi,+ Yehova ni ukumbusho wake.+

  • Mathayo 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na ule umati, wale waliokuwa wakienda mbele yake na wale waliokuwa wakifuata wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+ Mwokoe, tunaomba, katika vilele vilivyo juu!”+

  • Yohana 17:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nami nimewajulisha+ jina lako nami nitalijulisha, ili upendo ulionipenda nao upate kuwa ndani yao nami katika muungano pamoja nao.”+

  • Waroma 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki