Kumbukumbu la Torati 32:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana mimi nitatangaza jina la Yehova.+Nanyi mhesabieni ukuu Mungu wetu!+ Mathayo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Basi, ninyi msali hivi:+ “ ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina+ lako na litakaswe.+ Yohana 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.
6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.