2 Samweli 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo Daudi akaendelea kuwa mkuu zaidi na zaidi,+ na Yehova Mungu wa majeshi+ alikuwa pamoja naye.+ 2 Samweli 22:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mungu wa kweli ni ngome yangu yenye nguvu,+Naye ataifanya njia yangu iwe kamilifu,+ Zaburi 44:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kupitia wewe tutawasukuma wapinzani wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaosimama dhidi yetu.+ Zaburi 125:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 125 Wale wanaomtegemea Yehova+Ni kama Mlima Sayuni,+ ambao hauwezi kutikiswa, bali hukaa mpaka wakati usio na kipimo.+ Waebrania 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+
10 Kwa hiyo Daudi akaendelea kuwa mkuu zaidi na zaidi,+ na Yehova Mungu wa majeshi+ alikuwa pamoja naye.+
5 Kupitia wewe tutawasukuma wapinzani wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaosimama dhidi yetu.+
125 Wale wanaomtegemea Yehova+Ni kama Mlima Sayuni,+ ambao hauwezi kutikiswa, bali hukaa mpaka wakati usio na kipimo.+
34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+