Zaburi 18:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mungu wa kweli Ndiye anayenifunga sana mshipi wa nguvu,+Naye ataifanya njia yangu kuwa kamilifu,+ Isaya 26:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pito la mwadilifu ni unyoofu.+ Kwa kuwa wewe ni mnyoofu, utaifanya njia ya mwadilifu kuwa laini.+