Luka 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na kwa ghafula malaika+ wa Yehova akasimama kando yao, na utukufu+ wa Yehova ukamulika pande zote kuwazunguka, nao wakaogopa sana. Matendo 7:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi. Matendo 7:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 ninyi mliopokea Sheria kama ilivyopitishwa na malaika+ lakini hamkuishika.”
9 Na kwa ghafula malaika+ wa Yehova akasimama kando yao, na utukufu+ wa Yehova ukamulika pande zote kuwazunguka, nao wakaogopa sana.
38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi.