Waroma 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana yeye anamwambia Musa: “Nitamwonyesha rehema yeyote ninayetaka kumwonyesha rehema, nami nitamwonyesha huruma yeyote ninayetaka kumwonyesha huruma.”+ Waroma 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+
15 Kwa maana yeye anamwambia Musa: “Nitamwonyesha rehema yeyote ninayetaka kumwonyesha rehema, nami nitamwonyesha huruma yeyote ninayetaka kumwonyesha huruma.”+
18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+