Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 33:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Pia ikatukia kwamba mara tu Musa alipokuwa ameingia ndani ya hema, ile nguzo ya wingu+ ilishuka chini, nayo ikasimama kwenye mwingilio wa hema na yeye akasema+ na Musa.

  • Kutoka 40:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kwa maana wingu la Yehova lilikuwa juu ya maskani wakati wa mchana, na moto ulikuwa juu yake wakati wa usiku machoni pa nyumba yote ya Israeli katika hatua zao zote za safari.+

  • Zaburi 99:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Katika nguzo ya wingu aliendelea kusema nao.+

      Walishika vikumbusho vyake na sharti alilowapa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki