9 Pia ikatukia kwamba mara tu Musa alipokuwa ameingia ndani ya hema, ile nguzo ya wingu+ ilishuka chini, nayo ikasimama kwenye mwingilio wa hema na yeye akasema+ na Musa.
38 Kwa maana wingu la Yehova lilikuwa juu ya maskani wakati wa mchana, na moto ulikuwa juu yake wakati wa usiku machoni pa nyumba yote ya Israeli katika hatua zao zote za safari.+