17 roho ya ile kweli,+ ambayo ulimwengu hauwezi kuipokea,+ kwa sababu hauioni wala kuijua. Ninyi mnaijua, kwa sababu hiyo hukaa pamoja nanyi na imo ndani yenu.+
13 Hata hivyo, huyo atakapofika, roho ya ile kweli,+ atawaongoza ninyi ndani ya kweli yote, kwa maana hatasema kwa msukumo wake mwenyewe, bali mambo anayoyasikia atasema, naye atawatangazia mambo yanayokuja.+