Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 kwa maana wanaosema si ninyi tu, bali ni roho ya Baba yenu inayosema kupitia ninyi.+

  • Yohana 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata hivyo, huyo atakapofika, roho ya ile kweli,+ atawaongoza ninyi ndani ya kweli yote, kwa maana hatasema kwa msukumo wake mwenyewe, bali mambo anayoyasikia atasema, naye atawatangazia mambo yanayokuja.+

  • 1 Wakorintho 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi sisi tulipokea, si roho+ ya ulimwengu, bali roho+ inayotoka kwa Mungu, ili tuyajue mambo ambayo Mungu ametupa sisi kwa fadhili.+

  • 1 Yohana 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na kwa habari yenu, kule kutiwa mafuta+ ambako mlipokea kutoka kwake hukaa ndani yenu, nanyi hamhitaji yeyote awe akiwafundisha;+ lakini, kama vile kutiwa mafuta kutoka kwake kunavyowafundisha ninyi juu ya mambo yote,+ na ni kweli+ wala si uwongo, na kama vile kumewafundisha ninyi, kaeni katika muungano+ na yeye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki