1 Wakorintho 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa mfano, mtu mmoja hupewa maneno ya hekima+ kupitia roho, mwingine maneno ya ujuzi+ kulingana na roho ileile, Waefeso 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, awape ninyi roho ya hekima+ na ya ufunuo katika ujuzi sahihi juu yake;+
8 Kwa mfano, mtu mmoja hupewa maneno ya hekima+ kupitia roho, mwingine maneno ya ujuzi+ kulingana na roho ileile,
17 ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, awape ninyi roho ya hekima+ na ya ufunuo katika ujuzi sahihi juu yake;+