Isaya 42:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Tazama! Mtumishi wangu,+ ambaye ninamshika sana!+ Mchaguliwa wangu,+ ambaye nafsi yangu imemkubali!+ Nimetia roho yangu ndani yake.+ Yeye atawatolea mataifa haki.+ Yohana 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yohana pia alitoa ushahidi, akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+ Matendo 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 yaani, Yesu aliyekuwa ametoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akaenda akipita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi;+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+
42 Tazama! Mtumishi wangu,+ ambaye ninamshika sana!+ Mchaguliwa wangu,+ ambaye nafsi yangu imemkubali!+ Nimetia roho yangu ndani yake.+ Yeye atawatolea mataifa haki.+
32 Yohana pia alitoa ushahidi, akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+
38 yaani, Yesu aliyekuwa ametoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akaenda akipita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi;+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+