Mathayo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Baada ya kubatizwa Yesu akapanda mara moja kutoka katika maji; na, tazama! mbingu zikafunguliwa,+ naye akaona roho ya Mungu ikishuka kama njiwa,+ ikija juu yake.+ Marko 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mara moja alipopanda kutoka majini akaona mbingu zikifunguka, na roho ikashuka juu yake kama njiwa;+ Luka 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na roho takatifu katika umbo la njiwa ikashuka juu yake, na sauti ikatoka mbinguni: “Wewe ni Mwanangu, mpendwa; nimekukubali wewe.”+
16 Baada ya kubatizwa Yesu akapanda mara moja kutoka katika maji; na, tazama! mbingu zikafunguliwa,+ naye akaona roho ya Mungu ikishuka kama njiwa,+ ikija juu yake.+
10 Mara moja alipopanda kutoka majini akaona mbingu zikifunguka, na roho ikashuka juu yake kama njiwa;+
22 na roho takatifu katika umbo la njiwa ikashuka juu yake, na sauti ikatoka mbinguni: “Wewe ni Mwanangu, mpendwa; nimekukubali wewe.”+