Zaburi 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Nitakufanya uwe na ufahamu na kukufundisha katika njia unayopaswa kuiendea.+Nitakupa shauri jicho langu likiwa linakutazama.+ Methali 14:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Furaha ya mfalme imo katika mtumishi anayetenda kwa ufahamu,+ lakini ghadhabu yake humjia mtu anayetenda kwa aibu.+ 1 Wakorintho 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 bali Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu,+ ili awaaibishe watu wenye hekima; na Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu, ili aviaibishe vitu vyenye nguvu;+
8 “Nitakufanya uwe na ufahamu na kukufundisha katika njia unayopaswa kuiendea.+Nitakupa shauri jicho langu likiwa linakutazama.+
35 Furaha ya mfalme imo katika mtumishi anayetenda kwa ufahamu,+ lakini ghadhabu yake humjia mtu anayetenda kwa aibu.+
27 bali Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu,+ ili awaaibishe watu wenye hekima; na Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu, ili aviaibishe vitu vyenye nguvu;+