Danieli 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ee Mungu wa mababu zangu, ninakushukuru na kukusifu, Kwa sababu umenipa hekima na nguvu. Na sasa umenijulisha tulichokuomba;Umetujulisha jambo linalomhangaisha mfalme.”+
23 Ee Mungu wa mababu zangu, ninakushukuru na kukusifu, Kwa sababu umenipa hekima na nguvu. Na sasa umenijulisha tulichokuomba;Umetujulisha jambo linalomhangaisha mfalme.”+