Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata hivyo, Farao pia aliwaita watu wenye hekima na walozi;+ na makuhani wa Misri wenye kufanya uchawi nao pia wakafanya jambo hilo hilo kwa ufundi wao wa uchawi.+

  • Kutoka 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, makuhani wa Misri wenye kufanya uchawi wakafanya jambo hilo hilo kwa ufundi wao wa siri;+ hivi kwamba moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi,+ naye hakuwasikiliza, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+

  • Kutoka 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao makuhani wenye kufanya uchawi wakajaribu kufanya vivyo hivyo kwa ufundi wao wa siri,+ ili kutokeza chawa, lakini hawakuweza.+ Na chawa hao wakawa juu ya wanadamu na wanyama.

  • 2 Timotheo 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi katika njia ambayo Yane na Yambre+ walimpinga Musa, vivyo hivyo hawa pia wanaendelea kuipinga kweli,+ watu walioharibika kabisa akilini,+ waliokataliwa kwa habari ya imani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki