20 Hutaungana nao katika kaburi, kwa sababu uliiharibu nchi yako mwenyewe, uliwaua watu wako mwenyewe. Uzao wa watenda-maovu hautatajwa mpaka wakati usio na kipimo.+
39 “Wakati watakapokuwa wamesisimuka nitaweka karamu zao na kuwalewesha, ili wafurahi;+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataamka,”+ asema Yehova.