Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini, kwa kweli, kwa sababu hii nimekuacha uendelee kuwako,+ ili kukuonyesha nguvu zangu na ili nifanye jina langu litangazwe katika dunia yote.+

  • Zaburi 72:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+

      Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+

      Amina na Amina.

  • Zaburi 86:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mataifa yote ambayo umeyafanya, yatakuja yenyewe,+

      Nayo yatainama mbele zako, Ee Yehova,+

      Na kulipa utukufu jina lako.+

  • Malaki 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana tangu kuchomoza kwa jua mpaka kutua kwake jina langu litakuwa kuu kati ya mataifa,+ na kila mahali moshi wa dhabihu+ utafukizwa, toleo litafanywa kwa jina langu, pia zawadi safi;+ kwa kuwa jina langu litakuwa kuu kati ya mataifa,”+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki