Isaya 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 aliyeifanya nchi yenye kuzaa iwe kama nyika na aliyeyapindua majiji yake,+ ambaye hakuwafungulia wafungwa wake njia ya kwenda nyumbani?’+ Isaya 45:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mimi nitaenda mbele yako,+ nami nitayanyoosha matuta ya nchi.+ Nitavunja vipande-vipande milango ya shaba, nami nitayakata na kuyaangusha mapingo ya chuma.+
17 aliyeifanya nchi yenye kuzaa iwe kama nyika na aliyeyapindua majiji yake,+ ambaye hakuwafungulia wafungwa wake njia ya kwenda nyumbani?’+
2 “Mimi nitaenda mbele yako,+ nami nitayanyoosha matuta ya nchi.+ Nitavunja vipande-vipande milango ya shaba, nami nitayakata na kuyaangusha mapingo ya chuma.+