2 Wafalme 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+ Isaya 64:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Majiji yako matakatifu+ yamekuwa nyika. Sayuni+ umekuwa nyika tupu, Yerusalemu limekuwa mahame yenye ukiwa.+
21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+
10 Majiji yako matakatifu+ yamekuwa nyika. Sayuni+ umekuwa nyika tupu, Yerusalemu limekuwa mahame yenye ukiwa.+