Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wale wanaokuona watakukodolea macho;

      Watakuchunguza kwa makini, wakisema,

      ‘Je, huyu ndiye yule mtu aliyekuwa akiitikisa dunia,

      Aliyekuwa akizitetemesha falme,+

      17 Aliyeifanya dunia inayokaliwa iwe kama nyika

      Na kuyapindua majiji yake,+

      Aliyekataa kuwaruhusu wafungwa wake waende nyumbani?’+

  • Isaya 43:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi:

      “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha makomeo yote ya malango,+

      Na Wakaldayo, katika meli zao, watalia kwa sababu ya mateso.+

  • Isaya 49:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Yehova anasema hivi:

      “Hata mateka wa mtu mwenye nguvu watachukuliwa,+

      Na wale waliotekwa na mtu mkatili wataokolewa.+

      Nitawapinga wale wanaokupinga,+

      Nami nitawaokoa wana wako mwenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki