2 Wafalme 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mfalme wa Babiloni aliwaua na kuwaangamiza huko Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo watu wa Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+ Isaya 64:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Majiji yako matakatifu yamekuwa nyika. Sayuni imekuwa nyika,Yerusalemu limekuwa ukiwa.+
21 Mfalme wa Babiloni aliwaua na kuwaangamiza huko Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo watu wa Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+