Zaburi 79:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 79 Ee Mungu, mataifa yamevamia urithi wako;+Yamelichafua hekalu lako takatifu;+Yamebadili Yerusalemu kuwa rundo la magofu.+ Maombolezo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+ Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu. Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali. Maombolezo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa sababu ya Mlima Sayuni, ambao umeachwa ukiwa;+ sasa mbweha wanatangatanga juu yake. Mika 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi kwa sababu yenu,Sayuni litalimwa kama shamba,Yerusalemu litakuwa marundo ya magofu,+Na mlima wa Nyumba* utakuwa kama vilima msituni.*+
79 Ee Mungu, mataifa yamevamia urithi wako;+Yamelichafua hekalu lako takatifu;+Yamebadili Yerusalemu kuwa rundo la magofu.+
4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+ Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu. Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali.
12 Basi kwa sababu yenu,Sayuni litalimwa kama shamba,Yerusalemu litakuwa marundo ya magofu,+Na mlima wa Nyumba* utakuwa kama vilima msituni.*+