Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mfalme Yehoyakini wa Yuda akatoka nje kwenda kukutana na mfalme wa Babiloni,+ akiwa pamoja na mama yake, watumishi wake, wakuu wake, na maofisa wa makao yake;+ na mfalme wa Babiloni akamchukua mateka katika mwaka wa nane wa utawala wake.+ 13 Kisha akachukua hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme.*+ Alivikata vipandevipande vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alitengeneza katika hekalu la Yehova.+ Hilo lilitendeka kama Yehova alivyokuwa ametabiri.

  • Zaburi 74:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Zielekeze hatua zako kwenye magofu ya kudumu.+

      Adui ameharibu kila kitu mahali patakatifu.+

  • Zaburi 74:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Walichoma moto mahali pako patakatifu.+

      Walichafua hema la ibada lenye jina lako, wakaliangusha chini.

  • Maombolezo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Adui amechukua hazina zake zote.+

      Kwa maana ameona* mataifa yakiingia mahali pake patakatifu,+

      Watu ulioamuru wasiingie katika kutaniko lako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki