Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Mfalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi: ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipa falme zote za dunia,+ naye ameniagiza nimjengee nyumba Yerusalemu, nchini Yuda.+ Yeyote miongoni mwenu, ninyi watu wake wote, Yehova Mungu wake na awe pamoja naye, na apande kwenda huko.’”+

  • Ezra 1:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mfalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi: ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipa falme zote za dunia,+ naye ameniagiza nimjengee nyumba Yerusalemu, nchini Yuda.+ 3 Yeyote miongoni mwenu, ninyi watu wake wote, Mungu wake na awe pamoja naye, na apande kwenda Yerusalemu, kule Yuda, na kuijenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli—yeye ndiye Mungu wa kweli—ambaye nyumba yake ilikuwa Yerusalemu.*

  • Isaya 44:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ninayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu,

      Naye atatimiza kikamili mapenzi yangu yote’;+

      Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litajengwa upya,’

      Na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki