12 “Artashasta,+ mfalme wa wafalme, kwa kuhani Ezra, mwandishi wa Sheria ya Mungu wa mbinguni: Na uwe na amani kamili. Na sasa 13 nimetoa agizo kwamba kila mtu katika milki yangu ambaye ni mmoja wa watu wa Israeli na pia makuhani wao na Walawi, ambaye angependa kwenda nawe Yerusalemu aende.+